4 Bedrooms House for sale at Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI YAKUHAMIA, VYUMBA 4,TSHS.72 MILIONI, KIVULE KONA-YA-SHULE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Gari moja tu kufika Mjini.
Na ni jirani na Kituo cha Daladala.
Nyumba inayojitegemea.
Vyumba 3 ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Banda lenye chumba kinachojitegemea.
Jiko la nje, Kisima, Parking salama na Frem moja ya Duka.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.