4 Bedrooms House for sale in Mbezi, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA INAUZWA – MBEZI MALAMBA MAWILI 🏡
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa eneo la Mbezi Malamba Mawili, umbali wa dakika 10 tu kutoka kituoni, inafikika kirahisi kwa gari.
✨ Sifa za nyumba:
• Vyumba 4 (kimoja Master)
• Sebule kubwa na ya kisasa
• Dining
• Jiko lenye makabati + store
• Choo cha wageni (public)
• Maji ya uhakika
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 400
💰 Bei: Milioni 85
👉 Inafaa kwa makazi binafsi au uwekezaji (kupangisha na kupata kipato).
💼 Service charge: 30,000/=
📞 Muhitaji piga: +255 688 412 890
Karibu tajiri Mbezi Malamba Mawili!



















