4 Bedrooms House for sale at Ukonga, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE HATI,VYUMBA 4,TSHS.100 MILIONI, UKONGA-MAGEREZA.
Vyumba 2 vya kulala kati ya 4 vilivyopo katika nyumba hii nzuri ya kisasa na yenye nafasi vina Vyoo ndani.
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia.
Vilevile ndani ya nyumba hii kuna Sehemu maalum kwaajili ya kufanyia Ibada pamoja na Sehemu ya Kusomea/ Ofisi binafsi ya nyumbani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1117.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
WAHI MDAU WANGU MALI ZA HIVI HAZIKAI
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv