3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA TEMBONI KM1 KUTOKA LAMI.
---------
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa la kisasa
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking kubwa
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 500,000/=×6
---------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 5
----------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693337627
#DALALI_BIG_KIMARA