3 Bedrooms House for sale at Kibamba, Dar Es Salaam


NYUMBA YA VYUMBA VITATU (3) TSHS 78 MILIONI,
KIBAMBA SHULE/HONDOGO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ipo umbali wa wastani wa kilomita moja na nusu kutoka Barabara ya Morogoro.
(UsafirI kwa Bodaboda ni Tsh.1000)
Hii ni nyumba nzuri kubwa na eneo lake lina nafasi.
Unaweza kujenga nyumba nyingine kadhaa ndani ya Fensi yako au tena ukipenda unaweza kuweka Mabanda ya kufugia kuku nk.
Vyumba 3(masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_____________
ANGALIZO;
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255 714 591548
_____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.