3 Bedrooms House for sale at Kinondoni, Dar Es Salaam







NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.350 MILIONI, KINONDONI
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 420.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Ina vyumba 3 vya ķulala (Masta 1) Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ipo ndani ya Fensi na Parking ni kubwa na ya kutosha.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________mgy
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.