3 Bedrooms House for sale at Wazo, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – TEGATA WAZO 🏡
Nyumba nzuri ya kumalizia ipo kwenye mtaa tulivu na salama sana huko Tegeta Wazo 🌳🛣️
✨ SIFA ZA NYUMBA:
🛏️ Vyumba 3 vya kulala
🛁 Vyumba 2 ni Master (vina bafu na choo ndani)
🛋️ Sebule kubwa yenye nafasi
🍽️ Dining room
🍳 Jiko la kisasa
📦 Stoo
🚻 Choo cha wageni
💵 Bei: Milioni 60 (Tsh 60,000,000) – 🗣️ maelewano yapo
📞 Wasiliana: #0714335450
🔥 Fursa nzuri kwa familia au uwekezaji!
Karibu uione mwenyewe!
__
#0714335450
#0714335450
#0714335450



















