2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







(320,000X6)KIMARA STOPOVER 1.5KM BODA ELF MOJA
=========
NYUMBA INAPANGISHWA 
INA JITEGEMEA UMEME NA MAJI 
IPO KIMARA STOP OVER 
UMBALI KM 1 .5
Ipondani ya fence parking kubwa sana 
-------boda boda 1000
Bajaji 1000
 
Seble kubwa sana 
Vyumba viwili vya kulala kimoja master 
Jiko kubwa la kisasa 
Public toilet 
Maji yana flow
Luku  yako
Tiles 
Gypsum 
Service charge 15,000/
Kodi 320,000/=×6
--------
Ila kuangalia na kulipa luksaa
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 320,000
CONTACT US:-
0716223412
0618976024



















