2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


Upande unapangishwa
vyumba viwili vya kulala
kimoja ni master
sebule
jiko
public toilet
kodi 380,000/= kwa mwezi.
malipo miezi5-6
location kimara bucha
parking ipo
ndani ya fence
kuona service charge 20,000/=
bila kusahau malipo ya dalali mwezi mmoja
0745834253
0615382085



















