2 Bedrooms House for Rent at Makongo, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA YA KISASA INAPANGISHWA – MAKONGO JUU
💰 Kodi: 1,150,000/= kwa mwezi
🕰️ Malipo: Miezi 6
✨ Vyumba viwili vikubwa (vyote self-contained)
✨ Sebure spacious na modern design
✨ Ndani kuna Smart TV inch 75 (LG) tayari imefungwa
✨ Jiko la kisasa full fitted
✨ Parking ya kutosha
✨ Fence iliyozungushiwa, usalama wa uhakika
✨ Mazingira tulivu na ya kifamilia
✅ Nyumba mpya, ya kisasa kabisa, ready to move in!
📞 Wahi sasa 👉 0678 512 666
💡 Luxury na comfort vinakutana hapa – usiachie ipite!