House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


π€ Apartment Zinapangishwa Mpya MBEZI MWISHO KWA ROBERT
π Kodi Tsh 130,000/= Γ6
__
________
β’ Jiko kubwa
β’ Chumba Master bedroom Kikubwa
#Umbali dakika 15 Kwa miguu Kutoka Kituoni
* Zipo 4 sehemu moja
* Hazina Fensi kwa sasa ila soon itajengwa ndugu mteja ila pia usalama ni wa kutosha maeneo hayo
====
#Malipo ya dalali Nasoni ni Tsh 130,000/=
#Kuoelekwa kuona 15,000/=
β:- 0753172516