House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT MPYA INAPANGISHWA MBEZI LUGURUNI #250K
Chumba cha kulala sebule Choo ndani na jiko
Kodi 250,000 kwa mwezi Γ 6
Inajitegemea umeme na maji, ndani ya fensi parking kubwa . Ya juu ndo ipo wazi
Umbali dakika 15 kwa mguu kutoka LUGURUNI na dakika 10 kwa mguu toka KIBAMBA HOSPITAL
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15
DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747
0683-387747
0765-494343