1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT ZINAPANGISHWA;#MPYA_MPYA
#CHUMBA_CHOO_SEBULE_NA_JIKO
đź’§Location ::MBEZI KIBANDA CHA MKAA UMBALI WA DAKIKA 7 KWA MGUU KUTOKA MOROGORO ROAD
đź’§Bei :: 270,000 Kwa Mwezi
KODI MIEZI 6
Muundo wa Nyumba;
📍Chumba kimoja Cha kulala
📍Sebule
📍Jiko lenye makabati
📍Choo Cha Ndani
📍Fence Ya waya Mlinzi yupo analipwa na mwenye Nyumba
📍Feni
📍Umeme wako
📍Air Condition Sebuleni
📍Heater ya maji ya moto
Wasiliana nasi Kwa Maelezo zaidi kupitia;
#0785889413
#0785889413