2 Bedrooms House/Apartment for sale in Tabata, Dar Es Salaam


🏢 APARTMENTS ZINAUZWA – TABATA SEGEREA 🏢
Apartments 6 za kisasa zinauzwa Tabata Segerea, karibu na barabara kuu 🚗 na location safi sana 🌟. Zote zinafanya kazi kama BnB 🛏️.
💰 Mapato kwa siku:
🔹 Vyumba viwili: 300,000/=
🔹 Chumba, sebule na jiko: 150,000/=
✨ Sifa: Full AC ❄️, mafeni, jiko la makabati, water heater 🚿, maji ya uhakika + kisima 💧, parking kubwa 🚗, na electric fence ⚡.
💰 Bei: Milioni 800
🤝 Karibu tajiri tufanye biashara.
📞 0688 412 890
👀 Service charge: 30,000/=
✨ Dalali wako Wakishua
#bnb
#daressalaam
#wekeza



















