Plots for sale in Tabata, Dar Es Salaam


🏢 VIWANJA VINAUZWA – TABATA SEGEREA MWISHO 🔥
📍 Karibu kabisa na stendi
🛣 Nichapili tu kutoka barabara kuu ya lami
🚶♂️ Dakika 1 kwa miguu unafika site – accessibility ya uhakika!
📐 Vipo viwanja 2
Kila kimoja: SQM 900
💰 Bei: Milioni 135 kila kiwanja
🤝 Ukichukua vyote viwili – punguzo maalum linapatikana!
📑 Tayari vimepimwa
📄 Hati inatoka kwa jina lako moja kwa moja
✨ Eneo linafaa sana kwa wawekezaji:
🏢 Jenga apartments (anzia units 6+)
💵 Pangisha @ 800,000/= kwa mwezi kila unit – hesabu mapato yako!
🏨 Airbnb – location inalipa sana
🏡 Au jenga makazi binafsi yenye space ya kutosha
Hii ni fursa adimu sehemu yenye mahitaji makubwa ya upangaji. Usikose!
📞 +255688412890
🎟 Viewing fee: 30,000/= TSH
dalaliwakishua
Dalali wako Wakishua 🏆
“Miliki Kesho Yako Leo!!!”
#daressalaam #viwanja #tabatasegereastand #wekeza #jessicakikumbi



















