1 Bedroom Furnished House for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Amenities
Description
📌 Lipia Kodi hata mwezi mmojammoja (Inakuwa wazi Kesho, kulipia Ruksa)
#Inapangishwa KIMARA KOROGWE
📌 Chumba master Kikubwa, Kodi ni 190,000/= *1
📍 Hela ya dalali 190,000/=
_______
___
#Maji BURE
#Umeme BURE
• Chumba Master Chenye Vitu Ndani. .. Kitanda, Godoro .....
• Sehemu kupumzika Shared
* Maji ndani
* Ndani ya fensi
* Parking
#Umbali wa dakika 12 kwa migu
#Nb: Anatakiwa bachelor
📍 Kama unavitu vyako haikufai
__________
Kupelekwa kuona 15,000/=
0713661530_0783661530















