1 Bedroom House for Sale in Kivule, Dar Es Salaam

Amenities
Description
ποΈ APARTMENTS ZINAUZWA β KIVULE, DAR ES SALAAM
Unatafuta uwekezaji wenye kipato cha uhakika? Hii ndiyo fursa yako!
π Location: Kivule, Frame 10
β¨ Sifa za Nyumba
β
Apartments 3 mpya kabisa
β
Kila apartment ina Chumba 1 (Master), Sebule na Choo cha ndani
β
Choo cha nje kwa wageni
β
Zipo ndani ya fence
β
Parking ya kutosha
β
Maji na umeme vinapatikana
ποΈ Frame 4 za Biashara
* Kila frame inapangishwa kwa TSh 100,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya frame: TSh 400,000/= kwa mwezi
π Apartments 3
* Kila apartment inapangishwa kwa TSh 150,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya apartments: TSh 450,000/= kwa mwezi
π° Jumla ya Mapato ya Kodi
* TSh 850,000/= kwa mwezi
* TSh 10,200,000/= kwa mwaka
π΅ Bei ya Uuzaji: TSh 50,000,000/= tu.
Hii ni fursa bora kwa mwekezaji anayetafuta mali yenye mapato ya uhakika kila mwezi.
Service Charge / Viewing Fee: TSh 30,000/=
π Muhitaji piga: +255 787 205 300
Dalali wako Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!!







