1 Bedrooms House for Rent in Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 125,000 per month

Type

House

Bedrooms

1

Description

🇹🇿 MASTER BEDROOM NZURI SANA INAPANGISHWA - KIMARA KOROGWE

📍 Eneo: Kimara Korogwe
🕒 Umbali: Kutoka Stand ya Mwendo Kasi ni dakika 10–12 kwa mguu. Kwa bodaboda Tsh 1000 tu mpaka getini.

🏠 SIFA ZA NYUMBA:
🔹 Chumba kimoja (Master Bedroom).
🔹 Jiko zuri na la kisasa.
🔹 Umeme & Maji (Submeter binafsi).
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7.
🔹 Fenced & Parking kubwa sana na salama.
👉Nyumba hii inakuwa wazi tarehe 20/03/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa.

💰 GHARAMA:
🔸 Kodi: Tsh 125,000 × 6 (Miezi sita)

Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba

Mawasiliano 0656623510

Wsp 0752436347