2 Bedrooms Apartment for Rent in Ubungo Kibangu Riverside, Dar Es Salaam







Description
Kuna Apartment Moja hapa ubungo kibangu river side
Ina vyumba viwili sebule, jiko, bafu, Water heater, Feni TV cable connection , balcon-mbele na nyuma, iko Floor ya kati kati ,maji yapo muda wote. Kuna Mita binafsi ya umeme, (B2) Car park ya kutosha, Ulinzi (SUMAGUARD) ikiwemo CCTV. Pia kuna Free WiFi. Iko wazi kuanzia tarehe 12 ,April 2026.
kwa:
Bei ya Sh 280,000/=
Malipo ni
Miezi minne.( sh 1,120,000)
Pia kwa wenye watoto wa chekechea mpaka darasa la sita kuna shule nzuri na bei nafuu sana, hamia na mtoto wako.
Karibuni
Contact
0742260844
0657384670















