2 Bedrooms Apartment for Sale in Kariakoo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 199,000,000

Type

Apartment

Bedrooms

2

Bathrooms

2

Amenities

Sitting Room
Kitchen
Kitchen Cabinets
Store Room
Balcony
Lift / Elevator

Description

๐Ÿ™๏ธ๐Ÿ–๏ธ APARTMENT INAUZWA โ€“ KARIAKOO, BARABARA YA LUMUMBA ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ™๏ธ

โœจ Apartment ya vyumba 2 vya kulala (Ipo ghorofa ya juu kabisa)
๐ŸŒŠ Ina muonekano wa bahari na ๐ŸŒ† muonekano wa jiji kwa pamoja

๐Ÿ’ฐ Bei: TSH Milioni 199

๐Ÿ”น Ni nyumba kamili
โœ”๏ธ Sebule
โœ”๏ธ Jiko lililofungwa lenye makabati kamili
โœ”๏ธ Vyumba 2 vya kulala (vyote vina bafu la ndani โ€“ ensuite)
โœ”๏ธ Store
โœ”๏ธ Mabaraza (balconies)
โœ”๏ธ Lift (elevator)
โœ”๏ธ A/C
โœ”๏ธ Inahitaji marekebisho madogo kabla ya kuhamia

๐Ÿ“ Eneo la kibiashara sana โ€“ Kariakoo / Posta (CBD)
๐Ÿ‘‰ Rahisi kwa shughuli zote za mjini
๐Ÿ‘‰ Inafaa sana kwa upangishaji wa muda mrefu
(Wafanyabiashara wa Kariakoo โ€“ Wahindi, Wachina, Wabongo na wengine)

๐Ÿ“„ Umiliki: Hati safi ya Sub-Title (Sole Ownership)

๐Ÿ“ž Piga: +255 688 412 890
Viewing fee 30,000/=

๐Ÿ”ฅ Fursa adimu katikati ya jiji โ€“ uwekezaji wa uhakika kabisa!