2 Bedrooms House for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Description
nyumba inapangishwa ipo kimara korogwe barabara ya zege
nyumba ina vyumba viwili kimoja master Sebule Jiko lenye makabati
nyumba ni mpya ndani ya Fensi Parking ipo Mazingira Mazuri
inajitegemea LUKU na Maji DAWASA yanaflow ndani
KODI 700.000 kwa mwezi Malipo ni miezi sita
survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
dalali osama contact
0674198120.....0757908120















