2 Bedrooms House for Rent in Kimara Mwisho, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 350,000 per month

Type

House

Bedrooms

2

Nearest Road

2.5km — Morogoro Road

Amenities

Electricity
Standalone Electric Meter
Standalone Water Meter
Fence
New Construction
Large Living Room

Description

INAPANGISHWA LOCATION KIMARA MWISHO KM 2,5 KUTOKA MOROGORO ROAD KIMARA MWISHO USAFIRI BAJAJI ZIPO KUPELEKWA KUONA NYUMBA ELFU 20
UKIIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA

SIFA YA NYUMBA
==============

Nyumba mpya
Ni vyumba viwilli vya kulala chumba kimoja ni master bedroom Sebule kubwa sana na jiko zuri ndani Inajitegemea umeme NA maji nyumba hizi zipo kwenye fensi Mazingira mazuri sana

KODI YA PANGO
=============

Tuelewane wateja
Nitataja bei mbili tofauti na miezi tofauti

ATAKAE WEZA KURIPA MWAKA

BEI YAKE NI

(350,000)

X 12
====≈====
MIEZI SITA NI

(400,000)

X 6

##0655256419
##0688617926