2 Bedrooms House for Sale in Dar Es Salaam (1900 sqm)

Amenities
Description
🏢🔥 GHOROFA YA KISASA INAUZWA 🔥🏢
💎 Muundo wa Apartment — uwekezaji wa uhakika 💼📈
✨ Sehemu ya Chini:
🛏️🛏️ Vyumba 2 (vyote Master 🚿🚽)
🛋️ Sebule kubwa ya kisasa
🍽️ Jiko lenye nafasi na mpangilio mzuri
✨ Sehemu ya Juu:
🏡 Apartment ya kisasa sana ✨😍
🎨 Design ya kuvutia na finishing za kiwango cha juu 💎
💖 Ukiiona tu utaipenda papo hapo!
📍 Location: Kiwanja kimegusa lami 🛣️🚗
📐 Ukubwa: SQM 1900 📏
💰 Bei: Milioni 320 💵
🤝 hiyo bei yakuuza
🚨 FURSA ADIMU SANA ⚡
⏳ Nyumba za aina hii haziwezi kukaa sokoni muda mrefu!
🏃♂️ Wahi sasa ujihakikishie mali yako 🔑✨
Kwenda kuona tsh 50,000
0746 433 854















