2 Bedrooms House for Sale in Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Type
House
Bedrooms
2
Plot Size
1000 SQM
Nearest Road
200m
Description
Eneo kubwa linauzwa Kigamboni, Dar es Salaam ๐
๐ Ukubwa wa SQM 1,000
โ
Limepimwa
โ
Lina hati safi ya wizara
Ndani ya eneo kuna nyumba 2 kali sana ๐ ๐
Kila nyumba ina:
๐๏ธ Vyumba 2 vya kulala
๐๏ธ Sebule
๐ฝ๏ธ Dining
๐ณ Jiko
โจ Vitu vya ziada:
โ๏ธ Eneo lote limeshazungushiwa fence
โ๏ธ Kuna kisima tayari
โ๏ธ Kila nyumba ina umeme wake separate
โ๏ธ Mazingira mazuri na salama sana
โ๏ธ Space kubwa ya kuongeza maendeleo zaidi
๐ก Linafaa kwa:
โ
Makazi
โ
Uwekezaji
โ
Kupangisha nyumba zote upate kipato
โ
Watu wawili kugawana eneo
๐ Location nzuri sana:
๐ฃ๏ธ Meta 200 tu kutoka barabara ya lami
โด๏ธ Kilometa 4 mpaka Ferry
๐ Kilometa 3 mpaka Darajani
๐ฐ Bei ya zamani: Milioni 170
๐ฅ Bei ya sasa: Milioni 140 tu mazungumzo yapo kwa mnunuzi serious
๐ต Service Charge: Tsh 30,000 kwa kwenda kuangalia eneo
๐ Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni uwekezaji fyp viralproperty















