2 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea Viwanja Vya Benki, Dar Es Salaam (800 sqm)

Type
House
Bedrooms
2
Plot Size
800 SQM
Nearest Road
5km
Amenities
Description
🏡 NYUMBA INAUZWA – TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BENKI 🏡
Nyumba nzuri ambayo bado haijakamilika inauzwa maeneo ya Tabata Segerea Viwanja vya Benki. Fursa nzuri sana kwa makazi binafsi au uwekezaji wa kupangisha. ✨
📍 Location nzuri sana
🛣 Dakika 5 tu kutoka barabara ya lami
🌆 Neighborhood tulivu na iliyojengeka vizuri
🚗 Parking space ya kutosha
✅ Panafikika bila shida kipindi chote
🔹 Ina:
✔️ Vyumba 2
✔️ Chumba 1 Master
✔️ Sebule
✔️ Dining
✔️ Jiko
✔️ Public Toilet
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
💡 Eneo kubwa linalofaa kuongeza nyumba nyingine, garden au miradi mingine ya uwekezaji.
💰 Bei: Milioni 90 tu
📌 Service charge / Gharama ya huduma: 50,000/=
📞 Muhitaji piga: +255688412890
Karibu sana tajiri, ukamilishe kwa style yako mwenyewe na uanze kuingiza kipato. 🔑















