2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 400,000

Type

House

Bedrooms

2

Description

🇹🇿 #APARTMENT SAFI INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE – KARIBU NA BARABARA KUU

📍 Kimara Korogwe
🕗 Hii hapa kwa wale wavivu wa kutembea mmefikiwa sasa. Umbali wa kutoka standi ya mwendo kasi dakika 3 kwa mguu, haitaji bodaboda.

🏡 SIFA ZA NYUMBA

🔸 Vyumba viwili, kimoja Master
🔸 Sebule
🔸 Jiko
🔸 Public toilet ya ndani
🔸 Umeme & maji (inajitegemea)
🔸 Maji yanapatikana masaa 24/7
🔸 Fenced car parking kubwa sana

👉 Nyumba inakuwa wazi tarehe 30/01/2026
Kuona ndani na kufanya malipo ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo.

GHARAMA
🔹 Kodi Tsh 400,000 x miezi 6/=
🔹 Malipo ya dalali Tsh 400,000/=
🔹 Service charge Tsh 15,000/=

📞 #Piga_simu👇

SIMU

+255 684 88 14 29
+255 658 58 64 49

MSHATI