3 Bedrooms Apartment for Rent in Madale, Dar Es Salaam

Type
Apartment
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Nearest Road
1km
Description
๐ก APARTMENT YA VYUMBA 3 VYA KULALA INAPANGISHWA โ MADALE
๐ฐ Kodi: TZS 700,000 kwa Mwezi
Furahia maisha ya kisasa katika apartment nzuri iliyopo Madale, eneo tulivu na salama.
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
โ
Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
โ
Eneo la Dining
โ
Jiko la kisasa lenye makabati
โ
Public Toilet
โ
Makabati ya nguo kwenye vyumba
๐ Mahali:
โข Madale
โข Takribani kilomita 1 kutoka barabara kuu
๐น Huduma Zilizopo:
โ Full Air Condition (AC)
โ Heater ya maji
โ Maegesho ya magari (Parking)
โ Ulinzi wa saa 24
๐ณ Masharti ya Malipo:
โข Kodi: TZS 700,000 kwa mwezi
โข Malipo ya miezi 6 mbele
๐ Gharama Nyingine:
โข Service Charge: TZS 30,000 (mara moja tu)
โข Udalali: Kodi ya mwezi mmoja
๐ Kwa maelezo zaidi au kupanga kuona nyumba:
๐ฒ Piga/WhatsApp: +255 692 932 076















