3 Bedrooms House for Rent in Mkonze, Dodoma

Amenities
Description
NYUMBA NZURI INAPANGISHWA ā MKONZE, DODOMA š”
Unatafuta nyumba ya kuishi yenye mazingira mazuri na iliyo karibu na barabara ya lami? Hii ndiyo nafasi yako!
š Mahali: Mkonze Zahanati, Dodoma
⨠Muundo wa Nyumba
ā
Vyumba 3 vya kulala
ā
Chumba 1 ni Master Bedroom
ā
Sebule kubwa
ā
Dining
ā
Jiko zuri lenye makabati
š° Kodi: TSh 300,000/= kwa mwezi
š
Malipo: Miezi 4
Huduma Zinazopatikana
āļø Umeme upo
āļø Maji yanapatikana muda wote
āļø Jirani kabisa na barabara ya lami
āļø Mazingira salama na tulivu
š Mawasiliano
0787 037 986
0757 037 986
Karibuni Bupalu Real Estate ā Tunakusaidia kupata nyumba bora kwa bei sahihi.






