3 Bedrooms House for Sale in Kibada Chekechea, Dar Es Salaam (800 sqm)
Type
House
Bedrooms
3
Plot Size
800 SQM
Nearest Road
300m
Amenities
Description
NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA
π₯ NYUMBA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI! π₯
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo zuri na linalokua kwa kasi Kigamboni β Kibada Chekechea.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 3
β
Chumba 1 Master
β
Sebule kubwa
β
Jiko
β
Nyumba ipo kwenye eneo zuri na tulivu
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 800
π Hati: Hati ya Wizara
π UMBALI:
π Takribani mita 300 kutoka Baba Alami
π Kilomita 9 kutoka Ferry
π Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
π° BEI: TZS MILIONI 250
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
π 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















