3 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Mwoshoane, Dar Es Salaam (600 sqm)

Type
House
Bedrooms
3
Plot Size
600 SQM
Nearest Road
500m
Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA KWA BEI YA KUTUPA β KIGAMBONI MWOSHOANE, DAR ES SALAAM π₯
Unatafuta nyumba nzuri yenye eneo kubwa kwa bei nafuu? Hii ndiyo nafasi yako!
β
Bei: TSh 135,000,000 (Mazungumzo yapo)
β
Eneo la Square Meter 600
β
Kiwanja kimepimwa (Surveyed) na kimeidhinishwa (Approved)
β
Hati ya umiliki itatolewa kwa jina la mnunuzi
β
Mita 500 tu kutoka barabara ya lami
β
Mtaa mzuri, salama na umejengeka
Sifa za nyumba:
π Vyumba 3 vya kulala
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining
π³ Jiko
β¨ Madirisha ya aluminium
β¨ Gypsum
β¨ Fence upande mmoja
π¨ Imebaki kazi chache sana kukamilisha
Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia na pia ni fursa nzuri ya uwekezaji kutokana na eneo lake zuri.
π Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba kabla haijauzwa!
Service Charge: TSh 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















