3 Bedrooms House for Sale in Mbagala Zakhem, Dar Es Salaam (400 sqm)
Amenities
Description
š” NYUMBA KUBWA INAUZWA ā MBAGALA ZAKHEM
š° Bei: Milioni 250 (Mazungumzo yapo)
Nyumba hii ipo Mbagala Zakhem, jirani kabisa na kituo cha Mwendo Kasi, katika eneo zuri na linalofaa kwa makazi au uwekezaji.
Sifa za nyumba:
ā
Nyumba kuu ina vyumba 3 vya kulala
ā
Sitting room
ā
Fremu 1 ya biashara
ā
Kuna vyumba 6 vya kupanga ndani ya eneo
ā
Ukubwa wa eneo: Square Meter 400
Hii ni fursa nzuri kwa anayetafuta nyumba ya kuishi huku akipata kipato cha kodi.
š Njoo site ukague na ukutane na mwenye mali.
š Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504















