3 Bedrooms House for Sale in Mbezi Malamba Mawili, Dar Es Salaam
Amenities
Description
🏡 NYUMBA INAUZWA – MBEZI MALAMBA MAWILI 🏡
📍 Location: Mbezi Malamba Mawili
🛣️ Dakika 5 tu kutoka kituoni
🏡 Nyumba ipo ndani ya fence, katika mazingira mazuri na salama.
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala (1 Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa
✅ Dining room
✅ Jiko kubwa la kisasa
✅ Choo cha wageni (Public)
✅ Finishing ya kisasa imezingatiwa
✅ Maji yanapatikana masaa 24
✅ Water reserve tank
💰 Bei: TSh 80,000,000 (Milioni 80)
🏠 Nyumba hii inafaa kwa:
• Makazi binafsi ya familia
• Uwekezaji wa kupangisha na kupata kipato cha kudumu
💼 Service Charge: TSh 50,000/=
📞 Call/WhatsApp:
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















