3 Bedrooms House for Sale in Mkwambe Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam (400 sqm)

Type
House
Bedrooms
3
Plot Size
400 SQM
Nearest Road
1km
Amenities
Description
🏡 NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI MKWAMBE FANI CITY – BEI YA KITONGA SANA!
Je, unatafuta nyumba ya kuhamia moja kwa moja au kufanya uwekezaji wenye faida? Hii ni fursa adhimu usiyoipaswa kuikosa.
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 3(viwili master)
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Jikoni kizuri
✅ Fensi imara kuzunguka eneo lote
✅ Mazingira salama na tulivu kwa familia
✅ Ukubwa wa kiwanja: SQM 400
📍 Mahali: Mkwambe Fani City, Kigamboni
✔️ Km 1 kutoka barabara ya lami
✔️ Bodaboda ni Sh 1,500 tu kutoka barabara kuu hadi nyumbani
✔️ Km 12 kutoka Ferry
✔️ Km 10 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: Milioni 47 tu
🤝 Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
📞 Wasiliana Nasi: 0769 554 221
#trendingvideo #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingsongs















