3 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam (600 sqm)

Description
โจ LUXURY LIVING IN TABATA SEGEREA ๐ก๐ Kwa wanaotafuta makazi ya kisasa yenye hadhi na usalama wa hali ya juu, hii ndiyo nyumba sahihi kabisa. Ipo kwenye neighborhood tulivu, ndani ya fensi, ikiwa na electronic fence pamoja na remote control gate kwa convenience na privacy ya kiwango cha juu. ๐โจ Nyumba kuu ina vyumba 3, viwili master, sebule kubwa, dining, na jikoni la kisasa lenye makabati pamoja na store. Kwa nje kuna additional rooms, garden nzuri sana ๐ฟ, jikoni la nje, kisima cha maji, pamoja na sehemu maalum ya kufugia mbwa ๐. ๐ Location: Tabata Segerea ๐ Size: 600 sqm ๐ Hati miliki ya Wizara ya Ardhi ๐ฐ Price: TZS 240M (FIXED) Inafaa kwa family residence ya kisasa, executive home, au uwekezaji wa premium rental / guest house. ๐ Call/WhatsApp: +255688412890 ๐ผ Dalali wako Wakishua โจ #LuxuryHome #TabataSegerea #daressalaam #HouseForSale














