4 Bedrooms House for Rent at Tabata, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 1,800,000

Type

House

Bedrooms

4

Description

🔥 NYUMBA MZURI SANA INAPANGA – TABATA SEGEREA MWISHO! 🔥

Stand Alone Kali Sana – Inafaa kabisa kwa familia au wanaopenda maisha ya starehe! 💎

✅ Vyumba 4 vya kulala (master)
✅ Sebule kubwa + Dining
✅ Jiko la kisasa lenye makabati marefu
✅ Store + Chumba cha kufulia
✅ Electric fence + Maji ya bomba 24/7
✅ Panafikika kirahisi, karibu na barabara kuu

Kodi: Tsh 1.8M (inapatikana maongezi kidogo)
Malipo: Miezi 6 mbele
Udalali: Sawa na kodi ya mwezi 1
Kupelekwa: 20,000 tu

Hii ni nyumba ya maana kabisa, wanaopenda vitu safi na vizuri waje haraka before inachukuliwa! 😍

📞 Piga sasa: 0688 412 890
(Muhitaji tu ndo anapiga, usipoteze nafasi!) 🚀