Search

4 Bedrooms House for Rent in Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam

Sh. 400,000/month

Description

Stand alone inapangishwa Kinyerezi Shule, takriban kilomita 1 kutoka barabara ya lami (bodaboda elfu moja).
๐Ÿ  Ina:
* Vyumba 4 (2 Master)
* Sebule
* Dining
* Jiko la kisasa lenye makabati
* Jiko la nje
* Maji ya DAWASCO pamoja na kisima
* Parking ya kutosha
* Ipo katika mtaa mzuri na salama

๐Ÿ’ฐ Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
๐Ÿ“Œ Malipo: Miezi 6 mbele
๐Ÿ’ต Gharama ya huduma: Kodi ya mwezi 1
๐Ÿ“ž Muhitaji piga:

Tabata/Segerea