4 Bedrooms House for Rent in Temboni, Dar Es Salaam









Temboni, Dar es Salaam
3 hours ago
Sh. 350,000/month
Amenities
Description
350x6 nyumba lnapangishwa ipo temboni kushoto kama unatoka mjini
Uhitaji boda au bajaji kufika nyumbani dk 10 kutembea
Inavyumba vinne vyakulala kimoja mastar
Sebule kubwa jiko kubwa na pablick toilet
Inatiles gyupsam aluminium
Inajitegemea maji umeme
Ndani ya fensi wapangaji wawili
Kodi 350x6
Kuonanyumba elfu 20
Utamlipa dalali kodi yamwezi ukilipia nyumba
Cal me
0712656027















