4 Bedrooms House for sale at Kibaha, Pwani

video thumbnail
Sh. 200,000,000

Type

House

Bedrooms

4

Description

ENEO ZURI LA EKARI MOJA LINA NYUMBA NNE NDANI LINAUZWA

Ni mkoa wa pwani kibaha kwa mathias

Nyumba zipo karibu na shule ya filbert bayi

unaingia na hiyo lami ya kuelekea jeshini msangani au jeshini nyumbu

Hapa kati unaingia kulia kutoka barabara ya Moro road km 1.5 tu

Nyumba kubwa ina vyumba 4 kimoja master, sebule, jiko, dinning, public toilet, stoo, na gereji

Na hizo nyingine waweza kuzitumia kama shule hospital lodge hotel nk

Eneo sqm 4000 lote lipo ndani ya fensi, eneo limepimwa hati itatoka kwa jina la mteja

Nje ipo fremu moja ya biashala

Bei mil 200 mazungumzo yapo kidogo

Maji umeme vipo ndani hapo

Boda elfu moja tu toka moro road

Service charge 50,000

Karibu sana mteja

Mawasiliano Whatsapp au call 0784 919 453,, call only 0658 582 977
Kujiunga na group letu la Whatsapp bonyeza hapa 👇 https://chat.whatsapp.com/BLDVlGxAuXH2z2p5y9u9fq
.

.

.
.

.

.
.

.
#hostel #home #business #regrann #hotel