4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (800 sqm)
Description
π‘π₯ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI KISIWANI π₯π‘
π FURSA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI!
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa Kigamboni β Kisiwani, ikiwa kwenye mazingira mazuri, tulivu na mtaa wenye barabara nzuri inayofika moja kwa moja kwenye nyumba.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 4, vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
β
Kisima cha maji
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
π Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
π‘ Nyumba ya kisasa kabisa
π£οΈ Barabara nzuri hadi kwenye nyumba
πΏ Mazingira mazuri na tulivu
π UMBALI:
π Mita chache kutoka Kisiwani Magengeni
π Kilomita 4 kutoka Ferry
π Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
π° BEI: TZS MILIONI 120
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Nyumba nzuri, location nzuri na mazingira mazuri kabisa. Karibuni sana kuitazama!
π 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingsongs















