4 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Amenities
Description
š” NYUMBA YA KISASA INAUZWA ā MBAGALA CHAMAZI š
Unatafuta nyumba nzuri ya familia au uwekezaji? Hii hapa opportunity ya kipekee Chamazi, Mbagala ndani ya mazingira mazuri na salama. š„
⨠Sifa za Nyumba:
ā
Vyumba 4 vya kulala
ā
Vyumba 2 Master Bedroom
ā
Sitting Room kubwa
ā
Dining Room
ā
Jiko la kisasa + Store
ā
Public Toilet
ā
Kisima cha maji cha uhakika
ā
Parking kubwa ya kutosha
ā
Frem 2 za biashara
ā
Dakika chache kutoka lami
ā
Hati safi ya serikali ya mtaa
ā
Eneo lenye maendeleo na mpangilio mzuri
š Location: Mbagala Chamazi ā Dar es Salaam
ā° Dakika 20 tu mpaka mjini
š° Bei: Milioni 120 tu
š¤ Maongezi yapo kwa mteja serious
š Kwa maelezo zaidi na kwenda kuona nyumba:
āļø 0683 665504
š„ Njoo site ukague mwenyewe, nyumba ni kali sana!
#WatejaSeriousTu















