4 Bedrooms House/Apartment for Rent in Ubungo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 700,000 per month

Type

House

Bedrooms

4

Description

#Repost dalali_makini_ubungo_riverside
——
Apartment inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE dk 5 kutoka main road

Nyumba ipo kwenye ukalabati ila una ruhusiwa kuiona na kulipia

NYUMBA INA VYUMBA VINNE VYA KULALA NA KIMOJA

Master bedroom
Sebule kubwa
Jiko kubwa
Public toilet
Luku yako & Maji yana flow ndani
Parking
Usalama wa kutosha

Kodi 700,000/= kwa Mwezi, Malipo miezi 6

Kwa maelezo zaidi piga :-

0712500602
0755336565