4 Bedrooms House/Apartment for Rent in Ubungo, Dar Es Salaam







Ubungo, Ubungo, Dar Es Salaam
13 days ago
Sh. 700,000 per month
Type
House
Bedrooms
4
Description
#Repost dalali_makini_ubungo_riverside
——
Apartment inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE dk 5 kutoka main road
Nyumba ipo kwenye ukalabati ila una ruhusiwa kuiona na kulipia
NYUMBA INA VYUMBA VINNE VYA KULALA NA KIMOJA
Master bedroom
Sebule kubwa
Jiko kubwa
Public toilet
Luku yako & Maji yana flow ndani
Parking
Usalama wa kutosha
Kodi 700,000/= kwa Mwezi, Malipo miezi 6
Kwa maelezo zaidi piga :-
0712500602
0755336565
