5 Bedrooms House for Sale in KIGAMBONI GEZAULOLE, Dar Es Salaam (800 sqm)

Amenities
Description
🏡 GOROFA LA KIFAHARI LINAUZWA – KIGAMBONI GEZAULOLE
Unatafuta nyumba ya kisasa, yenye hadhi na mazingira tulivu? Hii ni nafasi yako ya kipekee!
✨ Sifa za Nyumba:
🔹 Vyumba 5 vya kulala (3 Master)
🔹 Sebule kubwa na ya kisasa
🔹 Jiko la kisasa lenye nafasi ya kutosha
🔹 Dining area
🔹 Eneo kubwa: SQM 800
🔹 Mazingira mazuri na salama
📄 Umiliki: Full Title Deed (Hati Kamili)
💰 Bei: Milioni 800 (Mazungumzo yapo)
📞 Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi au kupanga kutembelea:
0769554221















