6 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisota Ushuani, Dar Es Salaam (1600 sqm)

Description
🏡 BIG HOUSE FOR SALE – KIGAMBONI KISOTA USHUANI 🏡
Nyumba kubwa na ya kisasa inauzwa Kigamboni Kisota Ushuani, eneo zuri sana kwa makazi ya familia kubwa au uwekezaji.
✨ Sifa za nyumba:
▪️ Vyumba 6 vyote master
▪️ Sebule kubwa ya kisasa
▪️ Dining area
▪️ Jiko kubwa la kisasa
▪️ Eneo lote SQM 1,600
▪️ Imepimwa vizuri
▪️ Ina hati kamili ya wizara
▪️ Mazingira tulivu na salama
📍0769554221
💰 Bei: Milioni 900
📝 Maongezi kidogo yapo.
Karibu sana kwa viewing na maelezo zaidi.
#trendingvideo#istagram #realestateforsale #house #trendingsongs















