8 Bedrooms House for Sale in Mbweni, Dar Es Salaam (900 sqm)

Type
House
Bedrooms
8
Plot Size
900 SQM
Nearest Road
4m β Bagamoyo Road
Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β MBWENI, DAR ES SALAAM Nyumba hii ipo kwenye barabara kuu inayoelekea Mbweni, ikiwa ni dakika 4 tu kwa miguu kutoka Bagamoyo Road β eneo zuri kwa makazi na biashara kwa pamoja. β¨ Sifa za Nyumba: * Ukubwa wa eneo: SQM 900 * Vyumba vya kulala: 8 * Sitting Rooms: 3 * Dining Room: 1 * Jiko pamoja na store 2 * Frame 7 za maduka * Mini Supermarket tayari ipo π Eneo linafikika kirahisi na lina potential kubwa ya biashara kutokana na location yake. π° Bei: TZS 380,000,000 (380M) π Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kupanga kuangalia nyumba. 0787705274















