8 Bedrooms House for sale in Tandale, Dar Es Salaam

Tandale, Dar Es Salaam
21 hours ago
Sh. 120,000,000
Description
Nyumba inauzwa
Location Tandale iko ktk mtaa mzur
ni corner plot
nyumba hii ina vyumba 8 kila chumba bei elfu 70k
nyumba inauzwa na mwenyewe
bei M.120k maongezi
ina leseni ya mauziano ya serikali za mitaa /unaweza kununua ukaifanyia NOVERTION ikawa chumba sebule jiko choo 350k au master jiko za laki 250k Kubwa



