1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Bucha, Dar Es Salaam









Amenities
Description
โ๐น๐ฟ #APARTMENT NZURI SANA YA KISASA #INAPANGISHWA KIMARA BUCHA
โโโโโโโ
๐ Kimara Bucha
๐ Umbali wa 1km kutoka Stand ya Mwendo Kasi Bucha. Usafiri wa bodaboda ni Tsh 1,000 tu, au kwa miguu ni takribani dakika 15 hadi getini.
โ#SIFA ZA NYUMBA
๐น Chumba kimoja Master Bedroom
๐น Sebule kubwa na ya kisasa
๐น Hakuna jiko
๐น Umeme na maji vina Sub Meter binafsi
๐น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
๐น Fenced Compound yenye Car Parking kubwa sana
๐น Mazingira ni salama, tulivu na rafiki kwa makazi
๐ Nyumba hii inafaulishwa kuona ndani na kufanya malipo luksa Funguo zipo muda wote kwa ajili ya kuonyesha nyumba. Mteja akiridhika hufanya malipo na kuhamia mara moja.
๐ฐ GHARAMA
๐ธ Kodi Tsh 200,000/= ร 5 au (Unaingia kwa malipo ya miezi 6)
๐ธ Malipo ya Dalali Tsh 200,000/=
๐ธ Service Charge Tsh 20,000/=
๐0688 067 289
โ#Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐















