1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam
Amenities
Description
🏡 APARTMENT YA KUPANGISHA – KIMARA KOROGWE 📍
Apartment itakuwa wazi tarehe 20 mwezi huu baada ya mpangaji wa sasa kuhama. Unaweza kuja kuiona na kufanya malipo mapema ili ku-reserve nyumba yako.
📍 Mahali: Kimara Korogwe
✨ Kisasa • Starehe • Usalama
🏠 Airbnb inaruhusiwa
🔑 VITU VILIVYOMO
🛏️ Chumba 1 cha Master – Self Contained
🛋️ Sebule kubwa yenye nafasi ya kutosha
🍽️ Jiko la kisasa lenye kabati zilizojengwa ndani
🎁 HUDUMA BURE
💧 Maji – BURE
🧹 Usafi – BURE
🛡️ Ulinzi – BURE
⚡ UMEME
💡 LUKU – Mpangaji anajilipia mwenyewe
💰 GHARAMA
🏠 Kodi: TZS 500,000 kwa mwezi
📅 Malipo: Miezi 3 mbele
💵 Dhamana: TZS 500,000 (Kodi ya mwezi 1)
📌
👀 Viewing: TZS 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
O677370515 whatsapp number
O688991244 NORMAL CALL















