2 Bedrooms Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam







Kimara, Ubungo, Dar Es Salaam
29 days ago
Sh. 250,000 per month
Type
Apartment
Bedrooms
2
Bathrooms
2
Amenities
Sitting Room
Kitchen
Open Kitchen
Public Toilet
Gypsum Ceiling
Tiles
Description
HIZI APARTMENT ZIPO NNE KWENYE COMPAUND MOJA KATI YA IZO MOJA INAKUWA WAZI TAREHE 02/03/2026 KUONA MALIPO RUKSA
#SEBULE KUBWA
#VYUMBA 2 VYA KULALA
CHUMBA KIMOJA MASTER
JIKO OPERN KITCHEN
#PUBLICK TOILET
NYUNBA INA FLOOR NYEKUNDU GIPSAM SAFI CHOO KUNA TAILZY
PAVING SAFI NYUMBA HAIPO KWENYE FENSI ILA USALAMA WA KUTOSHA KABISA
LUKU INAJITEGEMEA
MAJI DAWASA NDANI
LOCATIOB KIMARA KOROGWE DK 3 TU KUTOKA MWENDOKASI NJIA RAFIKI KWA GARI ZOTE ZA CHINI
BEI NI 250,000 KWA MWEZI MALIPO MIEZI SITA BILA KUPUNGUZA MIEZI PAMOJA NA PESA YA DALALI YA MWEZI MMOJA
#0710614924
#0688653940__
