2 Bedrooms Apartment for Rent in Tabata Kinyerezi Kibaga Songasi, Dar Es Salaam









Description
Stand alone) Apartment nzuri sana inapangishwa bei 500000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko lenye makabati, ac & fan, pia tank la maji la kwako, paving block, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi kibaga songasi dar es salaam
Call/whatsapp 0614900873
Service survey charge tsh 20000
Bila kusahau pesa ya dalali















