Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Amenities
Description
🔥 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🔥
📍 Sinza
💰 Bei: Tsh 400,000 kwa mwezi
🧾 Service Charge: Tsh 30,000
✔️ Inafaa kwa biashara (duka/ofisi)
✔️ Eneo zuri lenye mzunguko wa watu
✔️ Ufikiaji rahisi wa barabara
📞 Wasiliana sasa: 0760288000
Wahi sasa kabla haijapangishwa!















